Karibu Dr: Aman Willz
Help Center
Maswali na Majibu Kuhusu
PARIPESA
Jinsi gani nitaweza kufanya DEPOSIT kama natumia Mobile Application?
- Fungua Application halafu Click "MENU"
- Juu kulia utaona neno "Deposit"
- Click hapo halafu chagua mtandao uliojisajilia (mfano Vodacom, Tigo, Airtel)
- Ingiza kiasi unachotaka kuweka halafu malizia kuingiza namba ya siri
Nawezaje kutumia CODE YA MIKEKA kama natumia Application?
- Fungua App yako
- Bonyeza kiduara cha katikati hapo chini kimeandikwa Bet Slip
- Then Click "Download Bet Slip"
- Then paste Code hafu click Upload
Jinsi gani nitatumia CODE YA MIKEKA kama natumia WEBSITE?
- Gusa kitufe kimeandikwa "Betslip" hapo chini katikati
- Hafu utaona neno "Go to betslip", bonyeza hapo
- Kisha bonyeza vidoti vitatu pembeni mwa neno "My betslip"
- Hafu utaona neno "Load Betslip" bonyeza hapo, weka code yako hafu bonyeza "load"
Nawezaje kuwasiliana na HUDUMA KWA WATEJA?
- Kwenye App click "Menu" then "Customer Support", hafu click "Chat"
- Unaweza pia kuandika kwa Kiswahili, wahudumu wa Kiswahili pia wapo
DOCUMENT NUMBER ni nini?
- Sehemu ya document type chagua IDENTITY CARD
- Sehemu ya document number weka namba ya NIDA au Namba ya Kitambulisho cha Mpiga Kura
Natoaje Pesa kupitia Application ya Aman Willz?
- Fungua App hafu Click "MENU"
- Juu kulia utaona icon ya settings, bonyeza hapo
- Then chagua "withdraw"
- Chagua mtandao uliojisajilia kuweza kutoa pesa
- Ingiza kiasi unachotoa halafu malizia kutoa pesa